Jumanne, 8 Desemba 2015

MRADI WA MABASI YA MWENDO KASI KUANZA MAPEMA MWAKANI 2016


               Mradi wa mabasi yaendayo kasi u iliokuwa unasubiriwa kwa hamu na wakazi wa Dar es Salaam ,unatarajia kuanza kazi rasmi mapema mwakani 2016 Akizungumza na vyombo vya habari mhusika mkuu alisema kuwa wapo Katika hatua za mwisho wakimalizia mambo madogo madogo. Mabasi yaendayo kasi yanatarajiwa kupunguza foleni  zilizokithiri jijini Dar es Salaam
                     

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni