Jumatatu, 14 Septemba 2015

NJIA PANDA


                 


   Kipindi hiki cha uchaguzi kampeni za wagombea zinatawaliwa na mafuriko ya watu ,hili si la kulifumbia macho kwan siri ya mtu haipo usoni Bali moyoni, juu ya nani wa kumpigia kura

Watanzania tuwe makini ,tuchambue sera za wagombea, tuache ushabiki na uvyama usio na tija

                 



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni